SEGERE - SEGERE ORIGINAL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • #asiliyetu #nyimbozamakabila #makabila #jumampogo #mchiriku #mnanda #uswahilini #singeli #music

Комментарии • 116

  • @amedroizyvictor2323
    @amedroizyvictor2323 7 дней назад +3

    Moko wapi wanangu wa 2025 tujuane

  • @fetty_sarah__
    @fetty_sarah__ 10 месяцев назад +34

    We mtu uliweka huu wimbo una nafasi yako kwenye moyo wangu jmn umenikumbusha enzi za utoto wangu ❤❤❤❤

  • @mussamussa7943
    @mussamussa7943 10 месяцев назад +7

    Wazaro heshima kwenu wote.
    Nyimbo tamu san hizi.

  • @HamisiLazaro-v7c
    @HamisiLazaro-v7c Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nasi baho baho wp segere cha cha jamani wema unauzwa kwangu by mmanga boy

  • @rashidygoda9009
    @rashidygoda9009 4 месяца назад +5

    Wazaramu oyeee🤣🤣😂😂jasiri haachi asili

  • @abelraston3887
    @abelraston3887 8 месяцев назад +6

    watoto wa masaki na oysterbay tunaomba mtupishe kidogo mtuache tuna kikao na hizi segere zetu

  • @polycarphildbrand851
    @polycarphildbrand851 8 месяцев назад +6

    Baada ya kuisaka kwa muda, finally 🙌

  • @SaidAbdul-i6x
    @SaidAbdul-i6x 9 месяцев назад +24

    Tulio sikiza 2024 naombeni like apa

  • @YunusYahya-gr6ks
    @YunusYahya-gr6ks 2 месяца назад +5

    Kituo kizuri ni bombom eeee tiba ya ukwimwi uvaee condomuu oooooo
    Kituo kizuri mwananyamala eeee Kinga ya ukimwi ACHA umalaya weeeee😂😂
    Wazaramoo wakwele kibokoo

  • @abunidal-c7d
    @abunidal-c7d 3 месяца назад +5

    tanzania is a great nation...wazaramo juu kabisa

  • @hawahamisihamisi6038
    @hawahamisihamisi6038 8 месяцев назад +7

    Kama huna asili ya uzaramu segere huwez iyelewa💃💃

    • @StanleyMcharo
      @StanleyMcharo 6 месяцев назад

      Hata kama huna asili yauzalamuni lazima utaelew

    • @Dully_cassidy
      @Dully_cassidy 6 месяцев назад

      Kabisaaaa

  • @MwinyiKambi-rc9pm
    @MwinyiKambi-rc9pm 4 месяца назад +6

    Kama so mzaramo huwez elewa hii by zaramo boy

  • @mapesaomary-ip3vf
    @mapesaomary-ip3vf 5 месяцев назад +6

    Cm zilikuwa chache sana wakat ule ukipendwa unasubiriwa njia ya kwenu au kwenye kigodoro 😊😊

  • @AmliJafari
    @AmliJafari 15 дней назад

    Nakumbuka 2002 bulimanyi buhigwe kigoma huko, ngoma ilitisha sana. Wapi rafiki yangu Filibert Charles Hoza

  • @AnjellaJoseph
    @AnjellaJoseph Месяц назад +5

    walio anagalia 25 baada ya kutrend

  • @FatumaMombo
    @FatumaMombo 8 месяцев назад +7

    Kipindi hiko hata kusema kinga ya ukimwi uvyae kondom unaangalia baba asije kukusikia sio sasa hivi watoto wanajiimbia matusi wazazi wanaona sawa tuu

  • @JacksonSimoneGregorio
    @JacksonSimoneGregorio 2 месяца назад +6

    Watoto wa buku mbili awaelewi 😂😂😂

  • @glorymarandu3920
    @glorymarandu3920 2 месяца назад +3

    Jamani kuna ile taarabu peku peku km ukiipata tuwekee

  • @AnnoyedCircuitBoard-mp8vn
    @AnnoyedCircuitBoard-mp8vn Месяц назад +2

    Baobaooo❤❤❤❤

  • @HgiHg-i7t
    @HgiHg-i7t 7 месяцев назад +6

    2024 Nipo jaman imenikusha mbali

  • @AnnaLeornald
    @AnnaLeornald 4 месяца назад +4

    Yani kama upo mwenyew kweli uwezi sikiliza ad mwisho bila kulia

    • @abunidal-c7d
      @abunidal-c7d 3 месяца назад

      so much creative and nice music

    • @NjaroMwai
      @NjaroMwai 3 месяца назад

      Npo naiskiliza mda huu yaan nakumbuka maex wot😢😢😢

  • @yunaisamidd7587
    @yunaisamidd7587 8 месяцев назад +4

    Asante sana kwa kutupa hii nyimbo mna nili search RUclips mpka Nika changan nyikiwa

  • @Maleeyk
    @Maleeyk 7 месяцев назад +4

    Maneno kidogo... Wazaramo hao.... Mwishowe nmeupata huu ngoma

  • @abunidal-c7d
    @abunidal-c7d 3 месяца назад +3

    napenda segere sana,,fatuma rajab was a talented singer

    • @frankmagazine6418
      @frankmagazine6418 3 месяца назад +1

      Hii ajaimba Fatuma Rajabu hii ameimba Siza Abdalah Mazogera baada ya kutengana Kwa ili kundi ndiyo Fatuma Rajabu akaanza kuimba

  • @MateoSauti
    @MateoSauti Месяц назад +1

    Kwenye migomba punguzeni jamn

  • @JenithaNguliza
    @JenithaNguliza 5 месяцев назад +4

    natamani nikujue wewe ulie weka hii nyimbo nzuly sana

  • @JenithaNguliza
    @JenithaNguliza 5 месяцев назад +4

    nimeitafuta sanaa hii nyimbo duh

  • @DaviusElias-c4d
    @DaviusElias-c4d 2 месяца назад +2

    Huyu Dada yuko wapi kwa sas?? Chuma sana hiki atariii... Moja kwa Moja Peponi na akifa haozi

  • @Masiah_04
    @Masiah_04 6 месяцев назад +3

    Daaah naikumbuka nikiwa KIDUGARO noma sana

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 2 месяца назад +2

    Shabani we shabani 😂😂😂😂 wapi likes za madobe

  • @HardsonHaul
    @HardsonHaul 4 месяца назад +4

    Nyimbo zilizotulea kwenye makuzi mazuri

  • @abelraston3887
    @abelraston3887 8 месяцев назад +5

    wapenzi wa hizi segere watoto wa uswazi namanga masasani na kwingineko tujuane

  • @zachariafrancis
    @zachariafrancis 3 месяца назад +2

    Hivi kesi ya shabani madobe iliishaje jaman, au alisamehewa na wanasegere

  • @HhosnaRashid
    @HhosnaRashid 8 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤❤sana kitambo kwakweli

  • @HaisamhamisiImran
    @HaisamhamisiImran 18 дней назад +1

    Nakumbuka 2009 hatari

  • @MateoSauti
    @MateoSauti Месяц назад +1

    Madobeee weeeeeeeeee

  • @MuslimMtenga
    @MuslimMtenga Месяц назад

    So much umentoa stress sana hii nyimbo so much sana tena sana aisee

  • @HajiAlly-q6m
    @HajiAlly-q6m 8 месяцев назад +4

    Star sana aseee❤

  • @OctavianMushi-ho6ux
    @OctavianMushi-ho6ux 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤nimekumbuka mbal sana "newala mtwara

    • @NjaroMwai
      @NjaroMwai 3 месяца назад

      Daaah co poah

  • @abelraston3887
    @abelraston3887 3 месяца назад +3

    Wa 2000 mtupîshe kidogo yaani huku hakuna zuchu wala Marioo

    • @NjaroMwai
      @NjaroMwai 3 месяца назад +2

      😅😅😅😅😅😅

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 2 месяца назад +1

      Ni hapa tuu aweeeee😂😂😂😂😂

  • @BigNation-m6z
    @BigNation-m6z Месяц назад +2

    barikiwa kwa kunikumbusha mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaali

  • @Oli-lk1gp
    @Oli-lk1gp 5 месяцев назад +2

    Aah eh Shabani Madobe, my favorite part ❤❤❤

  • @Dully_cassidy
    @Dully_cassidy 6 месяцев назад +3

    Wa ukae mpooo 😅

  • @Kingkunta255
    @Kingkunta255 3 месяца назад +2

    7:20 shabani madobe🔥🔥🔥

  • @AmiryRimilaoga
    @AmiryRimilaoga 7 месяцев назад +3

    Tamu sana hii

  • @josephmatuwa89
    @josephmatuwa89 6 месяцев назад +2

    😂😂😂😂dah!Nikugalile choni mwanangu

  • @glorymarandu3920
    @glorymarandu3920 2 месяца назад +1

    Peku nakwambia kapekue jalalani🎵
    Hapa ulipoingia pako maji ya shingonii🎵😂

  • @AganamuRashidi
    @AganamuRashidi 3 месяца назад +3

    Unaelewa2

  • @ZeboyEmma
    @ZeboyEmma 3 месяца назад +1

    Wapendaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Fatma-gf4xd
    @Fatma-gf4xd 10 дней назад +1

    Fetty sarah nitumiye namba zako mimi shangazi yako fatuma wama guzoni nitumiye sasa hivi

  • @HgiHg-i7t
    @HgiHg-i7t 7 месяцев назад +4

    Daar nimekumbuka siku ya harusi Yang

    • @nachumomar
      @nachumomar 6 месяцев назад

      7:24 nitmye naba zako

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 6 месяцев назад

      mimi nakumbuka kitchenparty yangu

  • @TanguaShila
    @TanguaShila 10 месяцев назад +1

    Nawapenda Sana Sana Sana hongereni

  • @abunidal-c7d
    @abunidal-c7d 3 месяца назад

    nini maana ya segere.....anybody to pass my warm greetings to fatuma rajabu parents

  • @LuluAbdallah-w3z
    @LuluAbdallah-w3z 10 дней назад +2

    1/4/2025

  • @ShamsaOnesha
    @ShamsaOnesha 6 месяцев назад +3

    Jaman naitaka hii naipataje

    • @hero5885
      @hero5885 6 месяцев назад +1

      Download hapo.. ukifeli njoo watsup nikutumie

    • @Dully_cassidy
      @Dully_cassidy 6 месяцев назад

      ​@@hero5885 au sio 😅

  • @MasterJudo-z1n
    @MasterJudo-z1n 2 месяца назад

    Kweli nimekukumbusha zama

  • @RyneNicholausMboya
    @RyneNicholausMboya 17 дней назад

    Naacha hii coment hapa trh 24.3.2025

  • @rafoursamiol5244
    @rafoursamiol5244 8 месяцев назад +1

    Enzi zetu bwan dah

  • @DhikiriKhambi-s2k
    @DhikiriKhambi-s2k 2 месяца назад

    Pole san imeenda Ivo

  • @ElmirhamHasma
    @ElmirhamHasma 3 месяца назад +2

    2025 tujuwan🎉

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 10 месяцев назад +1

    Duuh kitambo sana

  • @Raynillah
    @Raynillah 4 месяца назад

    jamani ungereni sana wana segere

  • @oscarjoseph3513
    @oscarjoseph3513 3 месяца назад +2

    Wap Shaban Madobe 😂

  • @AshaMbaraka-pv3zf
    @AshaMbaraka-pv3zf 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmarMohammed-z2o
    @OmarMohammed-z2o 3 месяца назад +1

    Nime mss hikitu

  • @IdrissaMohammed-pb1bh
    @IdrissaMohammed-pb1bh 10 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 10 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤

  • @عائشةال-ل6ص
    @عائشةال-ل6ص 8 месяцев назад +1

    Kama❤❤

  • @RyneNicholausMboya
    @RyneNicholausMboya 2 месяца назад

    Mh sijui hata nisemejee

  • @abunidal-c7d
    @abunidal-c7d 3 месяца назад

    nani huyo vocal singer in this song and willing to reward her

  • @nassororashidi33
    @nassororashidi33 6 месяцев назад +2

    Ile nyimbo imeandikwa segere original siza mmefuta kwann mnanikera

  • @JacksonSimoneGregorio
    @JacksonSimoneGregorio 2 месяца назад

    Gistei me rembra no Tanzania 1997

  • @damaleo5137
    @damaleo5137 3 месяца назад +2

    19.12.2024

  • @mwarabusaid5115
    @mwarabusaid5115 18 дней назад

    🎉2025

  • @HgiHg-i7t
    @HgiHg-i7t 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Prince-xb6vz
    @Prince-xb6vz 4 месяца назад +3

    13/11/2024

  • @abdallahmshenga5518
    @abdallahmshenga5518 2 месяца назад

    Asante

  • @MateoSauti
    @MateoSauti Месяц назад +3

    Kwenye migomba punguzeni jamn

  • @PrincessMinaah
    @PrincessMinaah 11 дней назад

    ❤❤❤❤❤

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 9 месяцев назад +1

    Duuu kitambo sana

  • @husseinsalha8386
    @husseinsalha8386 3 месяца назад

    ❤❤